Font Size
Yohana 15:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 15:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Mtu asipokaa ndani yangu hutupwa nje kama tawi na kunyauka. Matawi hayo hukusanywa na kutupwa motoni, yakateketea. 7 Ninyi mkikaa ndani yangu na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni lo lote mtakalo nanyi mtatendewa. 8 Mnapozaa matunda kwa wingi Baba yangu anatukuzwa, na hivyo mnadhihirisha kuwa ninyi ni wanafunzi wangu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica